Polisi wa Uganda wanamzuilia dereva wa gari linalodaiwa lilitumika kuwasafirisha watoto wawili waliotekwa nyara katika vitongoji duni vya Kawangware, Nairobi.
Mtumiaji wa Facebook kwa jina Akao Patricia alikuwa kwanza ameelezea wasiwasi wake mnamo Jumanne, Agosti 14, alipokumbana na watoto wasio na hatia katika matatu wakielekea Busia
Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka
Akao alisema watoto hao walikuwa wakilia alipoingia gari hilo lenye nambari ya usajili UAM 145 C na baada ya kuwasaili mmoja wa wavulana hao alimweleza alimtaka baba yake. Read More...
Stephen Afam Ikeanyionwu, a drug dealer was arrested by the National Drug Law Enforcement Agency (NDLEA) at a church in Ojodu, Ikeja, Lagos on Sunday. The spokesman for the commission, Femi Babafemi, in a statement obtained by Naija News said that Ikeanyionwu was being sought for his efforts to smuggle 69.65 kilograms of cocaine and other drugs into the UK through the Murtala Muhammed International Airport in Lagos.
Babafemi said operatives of the NDLEA trailed the man on Sunday, August 15, 2021, to a church in Ojodu where he was arrested while attending worship services. Read More...